Nchi nyingi zinachukulia kuwa makazi ya Israeli yaliyojengwa baada ya Vita vya Waarabu na Israeli vya 1967 kuwa haramu. Kuendelea kupanuka kwa makazi hayo kwa miongo kadhaa, kumekuwa kati ya maswala yenye utata kati ya Israeli, Palestina na Jumuiya ya Kimataifa https://t.co/i2LYQh3KCj

Leave your vote

Join the discussion...

Your email address will not be published. Required fields are marked *